Quantcast
Channel: Michezo na Burudani – Tanzania Habari | Jamii | Michezo | Mahusiano | Kazi | Thehabari.com
Browsing latest articles
Browse All 521 View Live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la 20, ZIFF Kutoka Kivingine

Mkurugenzi wa ZIFF, Daniel Nyalusi (kulia) akizungumza katika mkutano na wadau wa Tamasha la ZIFF pamoja na wanahabari (hawapo pichani). Katikati ni Thabiti Kombo Mwenyekiti wa Bodi ya ZIFF na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHIRIKI SHINDANO LA BONGO STYLE WAPEWA SEMINA…!

Baadhi ya washiriki wa shindano la Bongo Style 2017, wakiwemo wapiga picha,waandishi wa miswada ya Filamu na wabunifu wa mitindo upande wa mavazi wakiwa wanafanya zoezi waliopewa na mwezeshaji Bw....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais mstaafu Kikwete azindua Tamasha la ZIFF 2017 Zanzibar, Atunukiwa tuzo

  Rais mstaafu Dkt. Kikwete akiselebuka pamoka na Mkurugenzi wa ZIFF, Fabrizo Colombo pamoja na kikundi cha Mwandege wakati wa tukio hilo la ufunguzi wa tamasha la ZIFF la 20. RAIS Mstaafu wa awamu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB yadhamini mashindano ya Golf Gymkhana Dar

Meneja Mahusiano ya Wateja wa NMB, Gibson Mlaseko akimkabidhi tuzo ya ushindi wa mchezo wa Golf, Samwel Mosha katika michuano ya mchezo huo maalumu kwaajili ya kuadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kongamano la Raha za Pwani Lavutia Wengi Maryland, USA

Msanii wa Bongo flava mfalme wa miduara AT akichengua mashabiki wake kwa wimbo mmoja wapo wa mduara kwenye kwenye jopo la kongamano la raha za pwani lililofanyika College Park, Marylan kwa lengo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio Tamasha la Castle Lite Unlocks, Leaders

Msanii Diamond Platinumz akiwa kwenye Tamasha kubwa  la Castle Lite Unlocks viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam., akiwakonga wapenzi wa burudani  usiku wa kuamkia leo.  Msanii Vanessa Mdee akiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YASHIRIKI MASHINDANO YA ROBOTI MAREKANI

Tanzania iliwakilishwa na Timu ya wanafunzi saba katika Mashindano ya Ubunifu yajulikayao kama First Global Robotic Challenge yaliyofanyika jijini Washington D.C. Tarehe 16-18 Julai, 2017 Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOFISA UGANI WASIPEWE KAZI ZA WATENDAJI

Mshauri wa Jukwaa la Matumizi ya Bioteknolojia, Dk. Nicholaus Nyange akitoa mada kwa maofisa ugani kwenye mafunzo ya siku moja kwa maofisa hao yaliyoandaliwa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI NMB WASHIRIKI MASHINDANO YA MOTHLY MUG, GOFU

Mchezaji wa timu ya gofu ya NMB, George Kivaria ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Huduma Mbadala za Kibenki wa NMB akishiriki mashindano ya gofu ya Mothly Mug yanayoandaliwa na Klabu ya Gofu ya Lugalo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk Mwakyembe aiahidi BFT kutatua kero ya eneo la Mafunzo

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akionyesha Jarida la Mpango Mkakati la Shirikisho la Masumbwi Tanzania (BFT) mara baada ya kufanya nao mazungumzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ wapokea vifaa vya michezo kutoka NMB

Kaimu Afisa Mkuu wa Wateja wadogo na Wakati wa NMB – Boma Raballa (kushoto) akimkabidhi vifaa mbalimbali vya michezo Mkurugenzi wa Michezo na Utimamu wa Mwili wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) –...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashabiki wa Simba Waadhimisha Simba Day Uwanja wa Taifa

Mashabiki na wapenzi ya Club ya Simba yenye maskani yake Msimbazi jijini Dar es Salaam wakiwa maadhimisho ya ‘Simba Day’. Siku hiyo uadhimishwa Agosti 8 ya kila mwaka.   Mashabiki wa Simba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi Hapa Sera za Fredrick Mwakalebela Mgombea Urais TFF

Fredrick Mwakalebela    MGOMBEA Urais katika Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, Fredrick Mwakalebela ametaja mambo kumi atakayo fanya katika kuinua mpira hapa nchini kama atapata ridhaa ya kuwa Rais...

View Article

Browsing latest articles
Browse All 521 View Live